Email:     

Social Security Regulatory Authority (SSRA)

Social Security Regulatory Authority

  • Home
  • About Us
    • Mission & Vision
    • Board Members
    • Departments
  • Functions of SSRA
  • News / Events
  • Documents
  • Event Calender
  • Quick Links
    • Tender
    • Forms
  • Contact Us
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia tuzo yake aliyopewa na SSRA kwa kusimamia Sekta ya Hifadhi ya Jamii kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SSRA Bi Jayne Nyimbo wakati wa kilele cha Wiki ya Hifadhi ya Jamii mkoani Dodoma hivi karibuni. Pembeni yake (Kushoto) ni Waziri wa Kazi na Ajira Mheshimiwa Gaudentia Kabaka, na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dokta Rehema Nchimbi. Waziri wa Kazi na Ajira Mheshimiwa Gaudentia Kabaka akipokea tuzo yake kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SSRA Bi Jayne Nyimbo wakati wa kilele cha Wiki ya Hifadhi ya Jamii mkoani Dodoma hivi karibuni. Pembeni yake (Kulia) ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Mrisho Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dokta Rehema Nchimbi. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi ya Wiki ya Hifadhi ya Jamii-2013 Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano cha SSRA Bi Sarah Kibonde Msika akikabidhi msaada wa mashuka na godoro kwa Afisa Muuguzi wa hospital ya mkoa wa Dodoma wenye thamani ya milioni saba katika wodi ya akinamama wajawazito ya Chikande.  Msaada huo ulitolewa na SSRA kwa kushirikiana na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Mkuu wa Idara ya Manunuzi ya SSRA Bw. Emmanuel Urembo akitoa maelezo kwa mwananchi aliyetembelea banda la SSRA wakati wa Wiki ya Hifadhi ya Jamii mkoani Dodoma hivi karibuni. Baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha Miyuji Cheshire Home wakifurahia msaada wa mbao na bati zilizotolewa na SSRA kwa kushirikiana na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Msaada huo una thamani ya shilingi Milioni tano. Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano cha SSRA Bi. Sarah Kibonde Msika akimfurahia mtoto aliyepewa jina Sarah ambaye mama yake alijifungua wakati msaada ukitolewa katika hospital ya Mkoa wa Dodoma, wodi ya Chikande. Pembeni yake ni wauguzi wa hospital hiyo. Baadhi ya Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Hifadhi ya Jamii (SSRA)  wakiwa katika Maandamano ya Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Mei Mosi 2013 Dar-es-Salaam. Picha ya Pamoja ya Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) mara baada ya Maandamano ya Siku ya Wafanyakazi katika viwanja vya Mnazi Mmoja. Waziri wa Kazi na Ajira Mheshimiwa Gaudentia Kabaka akisoma hotuba ya ufunguzi wakati wa semina iliyoandaliwa na SSRA kwa wajumbe wa TUCTA. Menejimenti ya SSRA pamoja na wageni waalikwa wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika semina hiyo.

 Acts     Regulations


 Tenders    Employment



 Service Charter    Forms downloads


 Govt. Employees Provident Fund
 Local Authorities Pensions Fund
 National Health Insurance Fund
 National Social Security Fund
 Parastatal Pensions Fund
 Public Service Pension Fund
                                                                                                     
USEFUL LINKS
BOT
ECASSA
ISSA
ILO
Government of Tanzania
World Bank
IMF
elektronik sigara
Copyright © 2013 Social Security Regulatory Authority (SSRA) All rights reserved.